Wounded Hearts and Empthy Pews - Swahili Edition
F. Wayne Mac Leod
EPUB
ca. 1,99 €
Light To My Path Book Distribution
Geisteswissenschaften, Kunst, Musik / Religion/Theologie
Beschreibung
Mioyo Iliyojeruhiwa na Mabenchi Tupu Kanisani
· Ni kipi husababisha watu kuyahama makanisa yao?
· Je, ni haki wakati wote kulihama kanisa?
· Je, mipasuko yote kanisani ni mibaya?
· Utahamaje kanisa wakati kuhama inaonekana ni kitu cha lazima?
· Je, utatibu namna gani kutoka mhemuko na maumivu ya kiroho ambayo kutokana na migawanyiko ya kuchukiza na isiyopendeza?
Ingawa haya sio maswali rahisi kuyajibu, uhakika wa mgawanyiko na mpasuko wa Makanisa kwenye makanisa uko bayana. Majaribio ya somo hili ni kukuchunguza jambo hili kwa upole na kutoa baadhi ya Mwongozo wa Kibiblia wa kulishughulika nakupitia hili mapambano ya kawaida tunayohisi katika kanisa la siku za leo.
Weitere Titel von diesem Autor
Weitere Titel in dieser Kategorie
Kundenbewertungen
Schlagwörter
divisions, church, reconciliation