If Your Brother Sins - Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18

15-17

F. Wayne Mac Leod

EPUB
ca. 1,99

Light To My Path Book Distribution img Link Publisher

Geisteswissenschaften, Kunst, Musik / Religion/Theologie

Beschreibung

Hatupaswi kuyatelekeza matatizo kati ya waumini kama tunavyofanya kwa watoto wetu ndani ya familia zetu. Mara kwa mara hatutakubali kuona jinsi mambo yatakavyoendeshwa. Wakati mwingine tunatenda kwa hasira na kiburi. Haiba zetu hugongana. Watu huumizwa.Maandiko yamejaa mifano mingi ya migogoro kati ya waumini.


Bwana Mungu alijua kwamba jambo hili litaendelea kutokea, hivyo akatoa maelekezo ya jinsi gani tunaweza kulishughulikia jambo kama hili. Kwa upendeleo wa pekee hapa Yesu anatufundisha katika Mathayo 18:15-17. Katika kifungu hiki Yesu anatufundisha jinsi ya kuyashughulikia matatizo yanapotokea.


Mathayo 18 inatoa changamoto ya kuyashughulikia mambo kibinafsi yanapotokea katikati ya mahusiano yetu. Inaelekeza njia iliyo salama kwa ndugu walioanguka ili kupatana na kuwatia moyo waumini wachanga kiroho kuwatia moyo ndugu zao katika nyakati za matatizo.

Weitere Titel von diesem Autor
F. Wayne Mac Leod
F. Wayne Mac Leod
F. Wayne Mac Leod
F. Wayne Mac Leod
Weitere Titel in dieser Kategorie
Cover Utatu
Maxwell Shimba

Kundenbewertungen

Schlagwörter

Mathayo 18:15-17, Jesus, church conflict